Thursday, 25 September 2025

MAMBO MATATU YAIZUNGUKA MECHI SIMBA V FOUNTAIN GATE.


KUNA mambo matatu yatatazamwa katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa leo Alhamisi kati ya Simba na Fountain Gate kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

POLISI YAMSHIKILIA PADRI AKITUHUMIWA KUTOA TAARIFA ZA UONGO IRINGA.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Padri Jordan Kibiki wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga kwa tuhuma za kutoa taarifa kuwa alitekwa.‎

Uchaguzi Tanzania 2025: NCCR-MAGEZI YAAHIDI KUTUMBUA MAFISADI KIKIPEWA RIDHAA.


Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao.

Tetesi za Soka: MANCHESTER UNITED INAVUTIWA NA HARRY KANE.


Manchester United inamtaka mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, 32, ambaye huenda akaondoka Bayern Munich msimu ujao wa kiangazi. (Star)

TRUMP ‘AIKOMALIA’ HAMAS, VIONGOZI WENGINE WATAKA TAIFA HURU LA PALESTINA.


MwananchiWakati Rais Donald Trump akisema kutambua taifa la Palestina ni “zawadi kwa Hamas,” viongozi wengine, akiwemo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, wameunga mkono kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina.

Video: SURA MPYA SAKATA LA UVAMIZI NYUMBA YA MJANE.


Dar es Salaam. Wanasheria wa pande mbili katika mvutano wa umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni, Dar es Salaam, wamezungumzia undani wa mgogoro huo uliosababisha mali za mjane, Alice Haule na wapangaji wake kutolewa nje kwa nguvu.