Thursday 3 November 2016

MAHAKAMA YAAMURU KUKAMATWA MBUNGE TUNDU LISSU.

MAHAKAMA YAAMURU KUKAMATWA MBUNGE TUNDU LISSU KWA KUSHINDWA KUHUDHURIA KESI YAKE

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata Mbunge wa Singida Mashariki(Chadema), Tundu Lissu kutokana na kushindwa kufika mahakamani hapo kusikiliza kesi yake.



Hati hiyo imetolewa leo(Alhamisi) na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya wakili wa Serikali, Patrick Mwita kuomba mahakama ifanye hivyo.

Pamoja na kwamba mdhamini wa Lissu aitwaye Robert Katula kueleza kuwa Lissu yuko Mwanza kwa ajili ya kesi nyingine hakimu Sima alitoa kibali kumkamata.

No comments:

Post a Comment

Subscribe My YouTube Channel Here:
https://www.youtube.com/channel/UCRdp...

Like My Facebook page:
https://www.facebook.com/lyizzmaker

Follow Me On Twitter:
https://www.twitter.com/habariyamjini

Follow Me on Instagram:
https://www.instagram.com/habariyamjini