Thursday 24 January 2019

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE CSEE NA QT 2018 YATANGAZWA.





Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifaimg_20190124_130208-jpg.1003477

 



 img_20190124_130231-jpg.1003481 


img_20190124_130242-jpg.1003479 img_20190124_130304-jpg.1003478
 img_20190124_130259-jpg.1003480

Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.

Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne

Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea

Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Tumaini Lutheran Seminari ya Malinyi mkoani Morogoro baada ya kubaini shule hiyo kuvujisha mtihani huo.

Mbali na kufuta matokeo hayo, Necta imekifungia kituo hicho cha kufanyia mtihani.

Amesema wameagiza wahusika wote kuchukuliwa hatua wakiwemo polisi waliosimamia.



Matokeo ni haya hapa:

CSEE
LINK 1

LINK 2

MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1

MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2

Chanzo cha Habari

No comments:

Post a Comment

Subscribe My YouTube Channel Here:
https://www.youtube.com/channel/UCRdp...

Like My Facebook page:
https://www.facebook.com/lyizzmaker

Follow Me On Twitter:
https://www.twitter.com/habariyamjini

Follow Me on Instagram:
https://www.instagram.com/habariyamjini