Thursday 28 February 2019

TAMISEMI YATANGAZA NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI 2019.

Ofisi ya Rais - TAMISEMI inapenda kuutangazia Umma kuwa Serikali imetoa kibali cha nafasi za ajira ya walimu ili kujaza nafasi wazi zilizopatikana kutokana na walimu waliofariki, walioacha kazi, waliofukuzwa utumishi na wastaafu kuanzia kipindi cha Julai, 2018 hadi Juni, 2019. Kwa sababu hiyo, OR-TAMISEMI imeandaa mfumo wa Online Teacher Employment Application System – OTEAS ambapo walimu wenye sifa watatuma maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi cha OTEAS

Walimu wanaotakiwa kutuma maombi ni wenye sifa za kitaaluma kama ifuatavyo: