Uchunguzi wa BBC umefichua mwanamume anayeendesha mtandao wa biashara ya ngono kutoka kwenye maeneo ya kifahari ya Dubai, akiwanyanyasa wanawake walio katika mazingira magumu.
Mwanamume huyo, anayeitwa Charles Mwesigwa, ambaye anadai kuwa alikuwa dereva wa basi jijini London, aliiambia mwandishi wa BBC aliyekuwa akifanya upelelezi kwa siri kuwa anaweza kupanga wanawake kwa ajili ya sherehe za ngono, kuanzia bei ya dola 1,000 kwa kila mwanamke.
Aliongeza kuwa wanawake hao wanaweza kufanya karibu kila kitu mteja anachotaka.
Kwa miaka mingi, kumekuwepo na tetesi kuhusu sherehe chafu za ngono huko Dubai.
No comments:
Post a Comment
Subscribe My YouTube Channel Here:
https://www.youtube.com/channel/UCRdp...
Like My Facebook page:
https://www.facebook.com/lyizzmaker
Follow Me On Twitter:
https://www.twitter.com/habariyamjini
Follow Me on Instagram:
https://www.instagram.com/habariyamjini