Monday 21 November 2016

HATIMAYE KIMETA CHAUWA 130 KASKAZINI MWA TANZANIA.


Mlipuko wa ugonjwa wa kimeta uliotokea katika hifadhi ya taifa kaskazini mwa Tanzania na kuuwa takriban wanyama pori 130 hatimae umedhibitiwa. Hayo ni kwa mujibu wa jopo la watalamu wa maswala ya afya waliokuwepo katika eneo hilo.
Wataalamu hao wamesema mpaka mwishoni mwa juma, jumla ya mizoga mia moja na thelathini ya wanyamapori wakiwemo nyumbu na swara imekwisha chomwa na kuzikwa. kama anavyofahamisha zaidi Aboubakar Famau.

No comments:

Post a Comment

Subscribe My YouTube Channel Here:
https://www.youtube.com/channel/UCRdp...

Like My Facebook page:
https://www.facebook.com/lyizzmaker

Follow Me On Twitter:
https://www.twitter.com/habariyamjini

Follow Me on Instagram:
https://www.instagram.com/habariyamjini