Tuesday, 26 August 2025
Tetesi za Soka: JACKSON KUTUA BAYERN, MAINO KUTIMKA UNITED.
Chelsea imekubali kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Senegal mwenye umri wa miaka 24 Nicolas Jackson kwenda Bayern Munich. (Bild)
Kiungo wa England Kobbie Mainoo, 20, atafikiria kuondoka Manchester United katika wiki ya mwisho ya dirisha la usajili iwapo klabu itapokea ofa inayofaa. (Talksport)
Crystal Palace wamewasilisha ofa ya pauni milioni 15 kwa ajili ya kumnunua beki wa Uswizi wa Manchester City Manuel Akanji, 30. (Sun)
Mshambuliaji wa Denmark wa Manchester United Rasmus Hojlund, 22, atapata ongezeko kubwa la mshahara iwapo atakubali kujiunga na Napoli kabla ya dirisha la usajili kufungwa. (Gazzetta dello Sport)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Subscribe My YouTube Channel Here:
https://www.youtube.com/channel/UCRdp...
Like My Facebook page:
https://www.facebook.com/lyizzmaker
Follow Me On Twitter:
https://www.twitter.com/habariyamjini
Follow Me on Instagram:
https://www.instagram.com/habariyamjini