Monday 21 November 2016

SALAMU KWA LOWASSA ZAITA POLISI KIKAONI.


Polisi jana walihoji uhalali wa mkutano wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, baada ya kundi kubwa la watu kuzingira ofisi za Chadema kwa lengo la kumsalimia aliyekuwa mgombea wake urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, Edward Lowassa.


HATIMAYE KIMETA CHAUWA 130 KASKAZINI MWA TANZANIA.


Mlipuko wa ugonjwa wa kimeta uliotokea katika hifadhi ya taifa kaskazini mwa Tanzania na kuuwa takriban wanyama pori 130 hatimae umedhibitiwa. Hayo ni kwa mujibu wa jopo la watalamu wa maswala ya afya waliokuwepo katika eneo hilo.

SITAYAFUMBIA MACHO YATAKAYOTOKEA KATIKA UTAWALA WA TRUMP.


Rais wa Marekani anayeondoka Barack Obama amesema huenda akazungumza, kinyume na utamaduni wa siasa Marekani, iwapo mrithi wake Donald Trump atatishia "maadili muhimu" ya Marekani.
Huwa desturi kwamba marais wa zamani wa Marekani huwa hawajiingizi sana katika siasa baada ya kuondoka madarakani na huwa hawazungumzi kuhusu warithi wao.

YALIYOTIA DOA UTAWALA WA JPM.


Serikali ya Awamu ya Tano imefanya vizuri katika mwaka wake wa kwanza, ikifanikiwa kurejesha nidhamu ya kazi kwa kiasi kikubwa, kupambana na ufisadi, kukusanya mapato ya Serikali na kuwawajibisha bila aibu viongozi na watumishi wa umma.

Ununuzi wa ndege mbili, malipo yaliyofanikisha awamu ya pili ya mradi wa umeme wa Segerea, kuanzisha mahakama ya mafisadi, kuzuia matumizi yasiyo ya lazima kwa kufuta sherehe za maadhimisho ni kati ya mambo yaliyofurahiwa na wengi.

Thursday 3 November 2016

UHAKIKI MIKOPO VYUONI WABAINI WANAFUNZI 3,000 WASIO NA VIGEZO.



UHAKIKI unaoendelea kufanywa na Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kujua uhalali wa wanaonufaika na mikopo hiyo, umeibua balaa kwa baadhi yao baada ya kuondolewa.

LEMA AHOJIWA POLISI KWA MADAI YA UCHOCHEZI.

Image result for Godbless Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amefikishwa polisi Arusha baada ya kukamatwa jana bungeni Dodoma.

TMA YATABIRI MVUA YAM AWE KANDA YA ZIWA.


Mikoa ya kanda ya ziwa huenda ikaendelea kukumbwa na mvua za mawe katika kipindi cha mwezi Novemba kutokana na utabiri uliofanywa na Mamlaka ya Hali Hewa (TMA).

MAHAKAMA YAAMURU KUKAMATWA MBUNGE TUNDU LISSU.

MAHAKAMA YAAMURU KUKAMATWA MBUNGE TUNDU LISSU KWA KUSHINDWA KUHUDHURIA KESI YAKE

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata Mbunge wa Singida Mashariki(Chadema), Tundu Lissu kutokana na kushindwa kufika mahakamani hapo kusikiliza kesi yake.

UEFA: MADRID YABANWA UGENINI.

Wachezaji wa Madrid wakishangilia goli la Bale

Klabu bingwa barani Ulaya imeendelea usiku wa kuamkia leo ikiwa bado katika hatua za makundi.
Mchezo wa kusisimua zaidi ukiwa kati ya Legia Warsaw dhidi ya Real Madrid ambao ulikuwa wa piga nikupige.

Tuesday 1 November 2016

APPEALS AGAINST MEANS TEST RESULTS FOR 2016/2017.


The Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) is hereby informing all loan applicants that the appeals window will be open for 90-days starting from 31st October, 2016. All Appellants should follow the below procedure: -
(i) You must complete the relevant Online Appeal Forms, make a printout of the same and attach thereto the necessary supporting documents.  The Online Appeals Form is accessible through